Zaburi 103:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Hakututendea kulingana na dhambi zetu;+Wala kuleta juu yetu kile tunachostahili kulingana na makosa yetu.+ Mika 7:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ghadhabu ya Yehova nitaivumilia—kwa maana nimemtendea dhambi+—mpaka atakapoendesha kesi yangu na kutekeleza haki kwa ajili yangu.+ Atanileta kwenye nuru; nitautazama uadilifu wake.+
10 Hakututendea kulingana na dhambi zetu;+Wala kuleta juu yetu kile tunachostahili kulingana na makosa yetu.+
9 Ghadhabu ya Yehova nitaivumilia—kwa maana nimemtendea dhambi+—mpaka atakapoendesha kesi yangu na kutekeleza haki kwa ajili yangu.+ Atanileta kwenye nuru; nitautazama uadilifu wake.+