16 Utawapepeta,+ na upepo utawachukulia mbali,+ na dhoruba ya upepo itawasukuma kwenda njia mbalimbali.+ Nawe mwenyewe utashangilia katika Yehova.+ Utajisifu katika Mtakatifu wa Israeli.”+
17 Sepetu yake ya kupepetea imo mkononi mwake ili kuusafisha kabisa uwanja wake wa kupuria na kukusanya+ ngano ndani ya ghala lake, lakini makapi+ atayateketeza kwa moto+ usioweza kuzimwa.”
13 kazi ya kila mmoja itafunuliwa, kwa maana ile siku itaifichua, kwa sababu itafunuliwa kwa njia ya moto;+ na moto wenyewe utaonyesha kazi ya kila mmoja ni ya aina gani.