35 Lakini malaika wa Yehova akamwambia Balaamu: “Nenda pamoja na wanaume hao;+ nawe hutasema lolote isipokuwa lile neno nitakalokuambia.”+ Naye Balaamu akaendelea kwenda pamoja na wakuu wa Balaki.
13 ‘Hata ikiwa Balaki angenipa nyumba yake iliyojaa fedha na dhahabu, singeweza kupita agizo la Yehova na kufanya jambo jema au baya kutoka moyoni mwangu mwenyewe. Lolote lile ambalo Yehova atasema ndilo nitakalosema’?+