Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 22:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Lakini malaika wa Yehova akamwambia Balaamu: “Nenda pamoja na wanaume hao;+ nawe hutasema lolote isipokuwa lile neno nitakalokuambia.”+ Naye Balaamu akaendelea kwenda pamoja na wakuu wa Balaki.

  • Hesabu 23:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Naye akajibu na kusema: “Je, lolote ambalo Yehova ametia katika kinywa changu silo ninalopaswa kuwa mwangalifu kulisema?”+

  • Hesabu 24:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 ‘Hata ikiwa Balaki angenipa nyumba yake iliyojaa fedha na dhahabu, singeweza kupita agizo la Yehova na kufanya jambo jema au baya kutoka moyoni mwangu mwenyewe. Lolote lile ambalo Yehova atasema ndilo nitakalosema’?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki