38 Basi Balaamu akamwambia Balaki: “Tazama, nimekuja kwako sasa. Je, nitaweza kusema jambo fulani?+ Neno ambalo Mungu atatia kinywani mwangu ndilo nitakalosema.”+
13 ‘Hata ikiwa Balaki angenipa nyumba yake iliyojaa fedha na dhahabu, singeweza kupita agizo la Yehova na kufanya jambo jema au baya kutoka moyoni mwangu mwenyewe. Lolote lile ambalo Yehova atasema ndilo nitakalosema’?+