Hesabu 23:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Naye Balaamu akajibu na kumwambia Balaki: “Je, sikusema nawe, na kukuambia, ‘Yote ambayo Yehova atasema ndiyo nitakayotenda’?”+ Hesabu 24:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 ‘Hata ikiwa Balaki angenipa nyumba yake iliyojaa fedha na dhahabu, singeweza kupita agizo la Yehova na kufanya jambo jema au baya kutoka moyoni mwangu mwenyewe. Lolote lile ambalo Yehova atasema ndilo nitakalosema’?+
26 Naye Balaamu akajibu na kumwambia Balaki: “Je, sikusema nawe, na kukuambia, ‘Yote ambayo Yehova atasema ndiyo nitakayotenda’?”+
13 ‘Hata ikiwa Balaki angenipa nyumba yake iliyojaa fedha na dhahabu, singeweza kupita agizo la Yehova na kufanya jambo jema au baya kutoka moyoni mwangu mwenyewe. Lolote lile ambalo Yehova atasema ndilo nitakalosema’?+