2 Mambo ya Nyakati 17:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na Yehova akaendelea kuwa pamoja na Yehoshafati,+ kwa sababu alitembea katika njia za zamani za Daudi babu yake+ wala hakutafuta Mabaali.+ 2 Mambo ya Nyakati 19:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na Yehoshafati akaendelea kukaa Yerusalemu; naye akaanza kutoka tena na kwenda katikati ya watu kutoka Beer-sheba+ mpaka eneo lenye milima la Efraimu,+ ili kuwarudisha kwa Yehova Mungu wa mababu zao.+
3 Na Yehova akaendelea kuwa pamoja na Yehoshafati,+ kwa sababu alitembea katika njia za zamani za Daudi babu yake+ wala hakutafuta Mabaali.+
4 Na Yehoshafati akaendelea kukaa Yerusalemu; naye akaanza kutoka tena na kwenda katikati ya watu kutoka Beer-sheba+ mpaka eneo lenye milima la Efraimu,+ ili kuwarudisha kwa Yehova Mungu wa mababu zao.+