Mwanzo 21:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Kisha akapanda mkwaju huko Beer-sheba naye akaliitia hapo jina la Yehova,+ Mungu anayedumu mpaka wakati usio na kipimo.+ Waamuzi 20:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Basi wana wote wa Israeli wakatoka,+ na kusanyiko likakutanika kama mtu mmoja,+ kutoka Dani+ mpaka Beer-sheba+ pamoja na nchi ya Gileadi,+ likamkutanikia Yehova katika Mispa.+
33 Kisha akapanda mkwaju huko Beer-sheba naye akaliitia hapo jina la Yehova,+ Mungu anayedumu mpaka wakati usio na kipimo.+
20 Basi wana wote wa Israeli wakatoka,+ na kusanyiko likakutanika kama mtu mmoja,+ kutoka Dani+ mpaka Beer-sheba+ pamoja na nchi ya Gileadi,+ likamkutanikia Yehova katika Mispa.+