28 Je, hujajua au, je, hujasikia?+ Yehova, Muumba wa miisho ya dunia, ni Mungu mpaka wakati usio na kipimo.+ Yeye hachoki wala hazimii.+ Haiwezekani kuchunguza kikamilifu uelewaji wake.+
10 Lakini kwa kweli Yehova ni Mungu.+ Yeye ndiye Mungu aliye hai+ na Mfalme mpaka wakati usio na kipimo.+ Kwa sababu ya ghadhabu yake dunia itatikisika,+ na hakuna mataifa yatakayostahimili shutuma yake.+