2 Mambo ya Nyakati 19:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yehoshafati akaendelea kuishi Yerusalemu, naye akatoka tena na kwenda kukutana na watu kuanzia Beer-sheba mpaka kwenye eneo lenye milima la Efraimu,+ ili awarudishe kwa Yehova Mungu wa mababu zao.+
4 Yehoshafati akaendelea kuishi Yerusalemu, naye akatoka tena na kwenda kukutana na watu kuanzia Beer-sheba mpaka kwenye eneo lenye milima la Efraimu,+ ili awarudishe kwa Yehova Mungu wa mababu zao.+