Kumbukumbu la Torati 28:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Anga zako zilizo juu ya kichwa chako pia zitakuwa shaba, na nchi iliyo chini yako itakuwa chuma.+ 1 Wafalme 8:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 “Mbingu ikifungwa hivi kwamba hakuna mvua inayonyesha,+ kwa sababu waliendelea kukutendea dhambi,+ nao kwa kweli wasali kuelekea mahali hapa+ na kulisifu jina lako, nao wageuke kutoka katika dhambi yao, kwa sababu uliendelea kuwatesa,+ 2 Mambo ya Nyakati 7:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ninapofunga mbingu ili mvua isinyeshe+ nami ninapoamuru panzi waile nchi+ nami nikileta tauni katikati ya watu wangu,+ Isaya 5:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nami nitaliweka kuwa kitu kilichoangamizwa.+ Nalo halitapunguzwa matawi, wala halitalimwa.+ Nalo litamea vichaka vya miiba na magugu;+ nami nitayaamuru mawingu yasinyeshe mvua yoyote juu yake.+
35 “Mbingu ikifungwa hivi kwamba hakuna mvua inayonyesha,+ kwa sababu waliendelea kukutendea dhambi,+ nao kwa kweli wasali kuelekea mahali hapa+ na kulisifu jina lako, nao wageuke kutoka katika dhambi yao, kwa sababu uliendelea kuwatesa,+
13 Ninapofunga mbingu ili mvua isinyeshe+ nami ninapoamuru panzi waile nchi+ nami nikileta tauni katikati ya watu wangu,+
6 Nami nitaliweka kuwa kitu kilichoangamizwa.+ Nalo halitapunguzwa matawi, wala halitalimwa.+ Nalo litamea vichaka vya miiba na magugu;+ nami nitayaamuru mawingu yasinyeshe mvua yoyote juu yake.+