Mambo ya Walawi 26:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Nami nitakivunja kiburi cha nguvu zenu na kuzifanya mbingu zenu ziwe kama chuma+ na nchi yenu iwe kama shaba. Kumbukumbu la Torati 11:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 na hasira ya Yehova iwake juu yenu, naye afunge mbingu hivi kwamba mvua yoyote isitokee+ nayo nchi isitoe mazao yake nanyi mwangamie haraka kutoka katika nchi nzuri ambayo Yehova anawapa ninyi.+ Kumbukumbu la Torati 28:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Anga zako zilizo juu ya kichwa chako pia zitakuwa shaba, na nchi iliyo chini yako itakuwa chuma.+
19 Nami nitakivunja kiburi cha nguvu zenu na kuzifanya mbingu zenu ziwe kama chuma+ na nchi yenu iwe kama shaba.
17 na hasira ya Yehova iwake juu yenu, naye afunge mbingu hivi kwamba mvua yoyote isitokee+ nayo nchi isitoe mazao yake nanyi mwangamie haraka kutoka katika nchi nzuri ambayo Yehova anawapa ninyi.+