Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 3:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa maana, tazama!+ Bwana wa kweli, Yehova wa majeshi, anaondoa katika Yerusalemu+ na katika Yuda kitegemeo na tegemeo, kitegemeo kizima cha mkate na kitegemeo kizima cha maji,+

  • Yeremia 14:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa kweli nikienda nje shambani, tazama, sasa, wale waliouawa kwa upanga!+ Na kwa kweli mimi nikija ndani ya jiji, tazama, pia, magonjwa yaliyoletwa na njaa!+ Kwa maana nabii na kuhani vilevile wamezunguka kwenda katika nchi ambayo hawakuijua.’”+

  • Yeremia 38:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Yehova amesema hivi, ‘Yule anayeendelea kukaa ndani ya jiji hili ndiye atakayekufa kwa upanga,+ kwa njaa+ na kwa tauni.+ Lakini yule atakayetoka nje kuwaendea Wakaldayo ndiye atakayeendelea kuishi na ndiye ambaye hakika nafsi yake itakuwa kama nyara kwake na ikiwa hai.’+

  • Maombolezo 4:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Wale waliouawa kwa upanga+ wamekuwa bora kuliko wale waliouawa kwa njaa,+

      Kwa sababu hao hudhoofika, wakichomwa kwa sababu ya ukosefu wa mazao ya shambani.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki