12 “‘Na itatukia kwamba miaka 70 itakapotimia+ nitatoza hesabu juu ya mfalme wa Babiloni na juu ya taifa lake,’+ asema Yehova, ‘kwa sababu ya kosa lao, juu ya nchi ya Wakaldayo,+ nami nitaifanya kuwa mahame yenye ukiwa mpaka wakati usio na kipimo.+
15 Pigeni kelele za vita juu yake kila upande.+ Ametoa mkono wake.+ Nguzo zake zimeanguka. Kuta zake zimebomolewa.+ Kwa maana ni kisasi cha Yehova.+ Jilipizieni kisasi juu yake. Kama alivyotenda, mtendeeni vivyo hivyo.+