Isaya 13:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Tangazo juu ya Babiloni+ ambalo Isaya mwana wa Amozi+ aliona katika maono: Isaya 14:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 kwamba utapaaza neno hili la kimethali juu ya mfalme wa Babiloni na kusema: “Lo! Jinsi yule anayewalazimisha wengine kufanya kazi amefikia kikomo, ukandamizaji ukafikia kikomo!+ Isaya 47:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 Shuka uje uketi mavumbini,+ Ee binti ya Babiloni+ uliye bikira. Keti chini mahali ambapo hakuna kiti cha ufalme,+ Ee binti ya Wakaldayo.+ Kwa kuwa hutaona tena kwamba watu wanakuita wewe mwororo na aliye laini.+ Yeremia 51:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 51 Yehova amesema hivi: “Tazama, ninaamsha upepo wenye kuharibu juu ya Babiloni+ na juu ya wakaaji wa Leb-kamai;+ Danieli 5:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 “Hii ndiyo tafsiri ya neno: MENE, Mungu amehesabu siku za ufalme wako naye ameukomesha.+ Danieli 5:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Usiku huohuo Belshaza mfalme Mkaldayo akauawa,+
4 kwamba utapaaza neno hili la kimethali juu ya mfalme wa Babiloni na kusema: “Lo! Jinsi yule anayewalazimisha wengine kufanya kazi amefikia kikomo, ukandamizaji ukafikia kikomo!+
47 Shuka uje uketi mavumbini,+ Ee binti ya Babiloni+ uliye bikira. Keti chini mahali ambapo hakuna kiti cha ufalme,+ Ee binti ya Wakaldayo.+ Kwa kuwa hutaona tena kwamba watu wanakuita wewe mwororo na aliye laini.+
51 Yehova amesema hivi: “Tazama, ninaamsha upepo wenye kuharibu juu ya Babiloni+ na juu ya wakaaji wa Leb-kamai;+