Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 13:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Tangazo juu ya Babiloni+ ambalo Isaya mwana wa Amozi+ aliona katika maono:

  • Isaya 14:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 kwamba utapaaza neno hili la kimethali juu ya mfalme wa Babiloni na kusema:

      “Lo! Jinsi yule anayewalazimisha wengine kufanya kazi amefikia kikomo, ukandamizaji ukafikia kikomo!+

  • Isaya 47:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Shuka uje uketi mavumbini,+ Ee binti ya Babiloni+ uliye bikira. Keti chini mahali ambapo hakuna kiti cha ufalme,+ Ee binti ya Wakaldayo.+ Kwa kuwa hutaona tena kwamba watu wanakuita wewe mwororo na aliye laini.+

  • Yeremia 51:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 51 Yehova amesema hivi: “Tazama, ninaamsha upepo wenye kuharibu juu ya Babiloni+ na juu ya wakaaji wa Leb-kamai;+

  • Danieli 5:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 “Hii ndiyo tafsiri ya neno: MENE, Mungu amehesabu siku za ufalme wako naye ameukomesha.+

  • Danieli 5:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Usiku huohuo Belshaza mfalme Mkaldayo akauawa,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki