Zaburi 89:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 Umeikomesha fahari yake,+Nacho kiti chake cha ufalme umekitupa mpaka chini.+ Yeremia 51:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Kwa maana Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi: “Binti ya Babiloni ni kama uwanja wa kupuria.+ Ni wakati wa kumkanyagia chini awe mgumu. Bado kitambo kidogo na wakati wa mavuno utakuja kwa ajili yake.”+ Danieli 5:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Usiku huohuo Belshaza mfalme Mkaldayo akauawa,+
33 Kwa maana Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi: “Binti ya Babiloni ni kama uwanja wa kupuria.+ Ni wakati wa kumkanyagia chini awe mgumu. Bado kitambo kidogo na wakati wa mavuno utakuja kwa ajili yake.”+