30 Acheni zikue pamoja mpaka wakati wa mavuno; na katika majira ya mavuno nitawaambia wavunaji, Kwanza kusanyeni magugu na kuyafunga matita-matita ili kuyateketeza motoni,+ ndipo nendeni mkusanye ngano ghalani mwangu.’ ”+
15 Na malaika mwingine akatokea katika patakatifu pa hekalu, akimpaazia sauti kubwa yule anayeketi juu ya lile wingu: “Tia ndani mundu wako uvune,+ kwa sababu saa imekuja ya kuvuna, kwa maana mavuno+ ya dunia yameiva kabisa.”+