31 “Mkimbiaji mmoja anakimbia ili kukutana na mkimbiaji mwingine, na mleta-habari mmoja ili kukutana na mleta-habari mwingine,+ kumletea habari mfalme wa Babiloni kwamba jiji lake limetekwa kwenye miisho yote,+
39 “Wakati watakapokuwa wamesisimuka nitaweka karamu zao na kuwalewesha, ili wafurahi;+ nao watalala usingizi unaodumu mpaka wakati usio na kipimo, ambamo hawataamka,”+ asema Yehova.
57 Nami nitawalewesha wakuu wake na watu wake wenye hekima, magavana wake na watawala-wasaidizi wake na wanaume wake wenye nguvu,+ nao watalala usingizi unaodumu mpaka wakati usio na kipimo, ambamo hawataweza kuamka,”+ asema Mfalme,+ ambaye jina lake ni Yehova wa majeshi.+