Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 21:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na, tazama, sasa, linakuja gari la vita la watu, pamoja na jozi ya farasi wa vita!”+

      Naye akaanza kusema: “Ameanguka! Babiloni ameanguka,+ na sanamu zake zote za kuchongwa za miungu yake amezivunja na kuziangusha chini!”+

  • Yeremia 51:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kwa ghafula Babiloni ameanguka, hivi kwamba amevunjwa.+ Pigeni mayowe juu yake.+ Chukueni zeri kwa ajili ya maumivu yake.+ Huenda akapona.”

  • Yeremia 51:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 “Mkimbiaji mmoja anakimbia ili kukutana na mkimbiaji mwingine, na mleta-habari mmoja ili kukutana na mleta-habari mwingine,+ kumletea habari mfalme wa Babiloni kwamba jiji lake limetekwa kwenye miisho yote,+

  • Yeremia 51:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 “Wakati watakapokuwa wamesisimuka nitaweka karamu zao na kuwalewesha, ili wafurahi;+ nao watalala usingizi unaodumu mpaka wakati usio na kipimo, ambamo hawataamka,”+ asema Yehova.

  • Yeremia 51:57
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 57 Nami nitawalewesha wakuu wake na watu wake wenye hekima, magavana wake na watawala-wasaidizi wake na wanaume wake wenye nguvu,+ nao watalala usingizi unaodumu mpaka wakati usio na kipimo, ambamo hawataweza kuamka,”+ asema Mfalme,+ ambaye jina lake ni Yehova wa majeshi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki