Isaya 47:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na msiba utakuja juu yako; hutajua uchawi wowote wa kufanya juu yake. Na shida itaanguka juu yako;+ hutaweza kuiepuka. Na uharibifu utakuja juu yako kwa ghafula,+ ambao kwa kawaida huujui. Yeremia 50:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Nimekuwekea mtego nawe umekamatwa, Ee Babiloni, nawe mwenyewe hukujua jambo hilo.+ Ulipatikana na pia ukashikwa, kwa maana ulishindana na Yehova.+ Yeremia 50:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 “Mfalme wa Babiloni amesikia habari juu yao,+ na mikono yake imelegea.+ Kuna taabu! Maumivu makali yamemshika, kama mwanamke anayezaa.+
11 Na msiba utakuja juu yako; hutajua uchawi wowote wa kufanya juu yake. Na shida itaanguka juu yako;+ hutaweza kuiepuka. Na uharibifu utakuja juu yako kwa ghafula,+ ambao kwa kawaida huujui.
24 Nimekuwekea mtego nawe umekamatwa, Ee Babiloni, nawe mwenyewe hukujua jambo hilo.+ Ulipatikana na pia ukashikwa, kwa maana ulishindana na Yehova.+
43 “Mfalme wa Babiloni amesikia habari juu yao,+ na mikono yake imelegea.+ Kuna taabu! Maumivu makali yamemshika, kama mwanamke anayezaa.+