Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 51:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kwa ghafula Babiloni ameanguka, hivi kwamba amevunjwa.+ Pigeni mayowe juu yake.+ Chukueni zeri kwa ajili ya maumivu yake.+ Huenda akapona.”

  • Yeremia 51:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 “Mkimbiaji mmoja anakimbia ili kukutana na mkimbiaji mwingine, na mleta-habari mmoja ili kukutana na mleta-habari mwingine,+ kumletea habari mfalme wa Babiloni kwamba jiji lake limetekwa kwenye miisho yote,+

  • Danieli 5:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Usiku huohuo Belshaza mfalme Mkaldayo akauawa,+

  • Ufunuo 18:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Hiyo ndiyo sababu katika siku moja mapigo+ yake yatakuja, kifo na kuomboleza na njaa, naye atateketezwa kabisa kwa moto,+ kwa sababu Yehova Mungu, aliyemhukumu, ni mwenye nguvu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki