31 “Mkimbiaji mmoja anakimbia ili kukutana na mkimbiaji mwingine, na mleta-habari mmoja ili kukutana na mleta-habari mwingine,+ kumletea habari mfalme wa Babiloni kwamba jiji lake limetekwa kwenye miisho yote,+
8 Hiyo ndiyo sababu katika siku moja mapigo+ yake yatakuja, kifo na kuomboleza na njaa, naye atateketezwa kabisa kwa moto,+ kwa sababu Yehova Mungu, aliyemhukumu, ni mwenye nguvu.+