14 Wajumbe+ nao, wakiwa wamepanda farasi wenye kusafirisha barua wanaotumiwa katika utumishi wa kifalme, wakaondoka, wakiwa wanachochewa kwenda mbele na kuendeshwa mbio+ kwa sababu ya neno la mfalme; na sheria hiyo ilitolewa katika ngome ya Shushani.+