Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 18:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Naye Ahimaazi+ mwana wa Sadoki akasema: “Tafadhali, acha nikimbie, nimpelekee mfalme habari hizi, kwa sababu Yehova amemhukumu ili amweke huru kutoka mkononi mwa adui zake.”+

  • Esta 8:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Wajumbe+ nao, wakiwa wamepanda farasi wenye kusafirisha barua wanaotumiwa katika utumishi wa kifalme, wakaondoka, wakiwa wanachochewa kwenda mbele na kuendeshwa mbio+ kwa sababu ya neno la mfalme; na sheria hiyo ilitolewa katika ngome ya Shushani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki