-
Yeremia 51:33Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
33 Kwa maana Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi:
“Binti ya Babiloni ni kama uwanja wa kupuria.
Ni wakati wa kumkanyagia chini awe mgumu.
Hivi karibuni wakati wake wa mavuno utafika.”
-