1 Samweli 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Yehova ni Mwenye Kuleta Umaskini+ na Mwenye Kutajirisha,+Ni Mwenye Kushusha, pia Mwenye Kuinua,+ Isaya 26:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Kwa maana amewashusha chini wale wanaokaa juu ya kilele,+ mji ulioinuliwa.+ Yeye anaushusha, anaushusha mpaka duniani; anauleta kwenye mavumbi.+
5 “Kwa maana amewashusha chini wale wanaokaa juu ya kilele,+ mji ulioinuliwa.+ Yeye anaushusha, anaushusha mpaka duniani; anauleta kwenye mavumbi.+