Yeremia 50:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Jinsi nyundo ya chuma+ ya dunia yote imekatwa na kuvunjwa!+ Jinsi Babiloni amekuwa kitu cha kushangaza tu kati ya mataifa!+ Yeremia 51:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Kwa hiyo Yehova amesema hivi: “Tazama, ninaendesha kesi yako,+ nami hakika nitalipiza kisasi kwa ajili yako.+ Nami nitaikausha bahari yake, nitavikausha visima vyake.+
23 Jinsi nyundo ya chuma+ ya dunia yote imekatwa na kuvunjwa!+ Jinsi Babiloni amekuwa kitu cha kushangaza tu kati ya mataifa!+
36 Kwa hiyo Yehova amesema hivi: “Tazama, ninaendesha kesi yako,+ nami hakika nitalipiza kisasi kwa ajili yako.+ Nami nitaikausha bahari yake, nitavikausha visima vyake.+