15 Je, shoka litajiinua juu ya mtu anayekata akilitumia, au msumeno kujitukuza juu ya mtu anayeusogeza mbele na nyuma, kana kwamba fimbo iliwasogeza mbele na nyuma wale wanaoiinua juu, kana kwamba fimbo ilimwinua juu yeye ambaye si mti?+
6 yeye anayevipiga vikundi vya watu katika ghadhabu kwa mapigo bila kukoma,+ yeye anayeyatiisha mataifa katika hasira kali pamoja na mateso yasiyo na kizuizi.+