13 Kwa sababu ya ghadhabu ya Yehova yeye hatakaliwa,+ naye atakuwa mahame yenye ukiwa.+ Na yeyote anayepita kando ya Babiloni, atatazama kwa mshangao na kupiga mluzi kwa sababu ya mapigo yake yote.+
16 wakisema, ‘Ole, ole—lile jiji kubwa,+ lililovikwa kitani bora na zambarau na kitambaa chekundu, na kupambwa kitajiri kwa mapambo ya dhahabu na mawe ya thamani na lulu,+