Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 50:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa sababu ya ghadhabu ya Yehova yeye hatakaliwa,+ naye atakuwa mahame yenye ukiwa.+ Na yeyote anayepita kando ya Babiloni, atatazama kwa mshangao na kupiga mluzi kwa sababu ya mapigo yake yote.+

  • Yeremia 51:41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 “Jinsi Sheshaki alivyotekwa,+ na jinsi Sifa ya dunia yote ilivyokatwa!+ Jinsi Babiloni amekuwa kitu cha kushangaza katikati ya mataifa!+

  • Ufunuo 18:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 wakisema, ‘Ole, ole—lile jiji kubwa,+ lililovikwa kitani bora na zambarau na kitambaa chekundu, na kupambwa kitajiri kwa mapambo ya dhahabu na mawe ya thamani na lulu,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki