Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 13:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na Babiloni, lile pambo la falme,+ uzuri wa fahari ya Wakaldayo,+ litakuwa kama wakati Mungu alipoangamiza Sodoma na Gomora.+

  • Isaya 14:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 kwamba utapaaza neno hili la kimethali juu ya mfalme wa Babiloni na kusema:

      “Lo! Jinsi yule anayewalazimisha wengine kufanya kazi amefikia kikomo, ukandamizaji ukafikia kikomo!+

  • Yeremia 49:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Kwa nini jiji lenye sifa halikuachwa, mji wa furaha? +

  • Danieli 4:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Mfalme alikuwa anasema:+ “Je, hili si Babiloni Mkubwa, ambalo mimi mwenyewe nimelijenga kwa ajili ya nyumba ya kifalme kwa nguvu za uwezo wangu+ na kwa ajili ya heshima ya utukufu wa enzi yangu?”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki