Isaya 13:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na Babiloni, lile pambo la falme,+ uzuri wa fahari ya Wakaldayo,+ litakuwa kama wakati Mungu alipoangamiza Sodoma na Gomora.+ Isaya 14:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 kwamba utapaaza neno hili la kimethali juu ya mfalme wa Babiloni na kusema: “Lo! Jinsi yule anayewalazimisha wengine kufanya kazi amefikia kikomo, ukandamizaji ukafikia kikomo!+ Yeremia 49:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwa nini jiji lenye sifa halikuachwa, mji wa furaha? + Danieli 4:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Mfalme alikuwa anasema:+ “Je, hili si Babiloni Mkubwa, ambalo mimi mwenyewe nimelijenga kwa ajili ya nyumba ya kifalme kwa nguvu za uwezo wangu+ na kwa ajili ya heshima ya utukufu wa enzi yangu?”+
19 Na Babiloni, lile pambo la falme,+ uzuri wa fahari ya Wakaldayo,+ litakuwa kama wakati Mungu alipoangamiza Sodoma na Gomora.+
4 kwamba utapaaza neno hili la kimethali juu ya mfalme wa Babiloni na kusema: “Lo! Jinsi yule anayewalazimisha wengine kufanya kazi amefikia kikomo, ukandamizaji ukafikia kikomo!+
30 Mfalme alikuwa anasema:+ “Je, hili si Babiloni Mkubwa, ambalo mimi mwenyewe nimelijenga kwa ajili ya nyumba ya kifalme kwa nguvu za uwezo wangu+ na kwa ajili ya heshima ya utukufu wa enzi yangu?”+