Isaya 47:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Keti kimya,+ uingie gizani,+ Ee binti ya Wakaldayo;+ kwa kuwa hutaona tena watu wakikuita Bimkubwa+ wa Falme.+ Yeremia 51:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “Ee mwanamke unayekaa juu ya maji mengi,+ mwenye hazina nyingi,+ mwisho wako umekuja, kipimo+ chako cha kupata faida.+ Danieli 4:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Mfalme alikuwa anasema:+ “Je, hili si Babiloni Mkubwa, ambalo mimi mwenyewe nimelijenga kwa ajili ya nyumba ya kifalme kwa nguvu za uwezo wangu+ na kwa ajili ya heshima ya utukufu wa enzi yangu?”+
5 Keti kimya,+ uingie gizani,+ Ee binti ya Wakaldayo;+ kwa kuwa hutaona tena watu wakikuita Bimkubwa+ wa Falme.+
13 “Ee mwanamke unayekaa juu ya maji mengi,+ mwenye hazina nyingi,+ mwisho wako umekuja, kipimo+ chako cha kupata faida.+
30 Mfalme alikuwa anasema:+ “Je, hili si Babiloni Mkubwa, ambalo mimi mwenyewe nimelijenga kwa ajili ya nyumba ya kifalme kwa nguvu za uwezo wangu+ na kwa ajili ya heshima ya utukufu wa enzi yangu?”+