Isaya 13:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na Babiloni, lile pambo la falme,+ uzuri wa fahari ya Wakaldayo,+ litakuwa kama wakati Mungu alipoangamiza Sodoma na Gomora.+ Isaya 14:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 kwamba utapaaza neno hili la kimethali juu ya mfalme wa Babiloni na kusema: “Lo! Jinsi yule anayewalazimisha wengine kufanya kazi amefikia kikomo, ukandamizaji ukafikia kikomo!+ Ufunuo 17:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na juu ya paji la uso wake jina, fumbo,+ lilikuwa limeandikwa: “Babiloni Mkubwa, mama wa makahaba+ na wa machukizo ya dunia.”+
19 Na Babiloni, lile pambo la falme,+ uzuri wa fahari ya Wakaldayo,+ litakuwa kama wakati Mungu alipoangamiza Sodoma na Gomora.+
4 kwamba utapaaza neno hili la kimethali juu ya mfalme wa Babiloni na kusema: “Lo! Jinsi yule anayewalazimisha wengine kufanya kazi amefikia kikomo, ukandamizaji ukafikia kikomo!+
5 Na juu ya paji la uso wake jina, fumbo,+ lilikuwa limeandikwa: “Babiloni Mkubwa, mama wa makahaba+ na wa machukizo ya dunia.”+