Ufunuo 19:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 kwa sababu hukumu zake ni za kweli na za uadilifu.+ Kwa maana ametekeleza hukumu juu ya yule kahaba mkubwa aliyeiharibu dunia kwa uasherati wake, naye amelipiza kisasi damu ya watumwa wake mkononi mwake.”+
2 kwa sababu hukumu zake ni za kweli na za uadilifu.+ Kwa maana ametekeleza hukumu juu ya yule kahaba mkubwa aliyeiharibu dunia kwa uasherati wake, naye amelipiza kisasi damu ya watumwa wake mkononi mwake.”+