Isaya 44:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Yule anayekiambia kilindi cha maji, ‘Kauka; nami nitaikausha mito yako yote’;+ Yeremia 50:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Kuna uharibifu juu ya maji yake, nayo lazima yatakaushwa.+ Kwa maana hiyo ni nchi ya sanamu za kuchongwa,+ na kwa sababu ya maono yao yenye kutia hofu wanaendelea kutenda kiwazimu.
38 Kuna uharibifu juu ya maji yake, nayo lazima yatakaushwa.+ Kwa maana hiyo ni nchi ya sanamu za kuchongwa,+ na kwa sababu ya maono yao yenye kutia hofu wanaendelea kutenda kiwazimu.