11 Na wakati huo watu hawa na Yerusalemu wataambiwa hivi: “Kuna upepo unaokausha wa mapito ya nyikani+ kwenye njia ya kwenda kwa binti ya watu wangu;+ si wa kupepeta, wala wa kusafisha.
36 Nami nitaleta juu ya Elamu zile pepo nne kutoka katika miisho minne ya mbingu.+ Nami nitawatawanya kwenye pepo hizi zote,+ na hakutakuwa na taifa lolote ambako watu wa Elamu waliotawanywa+ hawatakuja ndani yake.’”