10 Na, tazama! ijapokuwa ulipandikizwa, je, utakuwa na mafanikio? Je, hautakauka kabisa, kama wakati ambapo upepo wa mashariki huugusa?+ Utakauka katika eneo dogo la bustani la chipukizi lake.” ’ ”+
15 “Hata yeye akizaa sana+ kama mimea ya matete, upepo wa mashariki, upepo wa Yehova, utakuja.+ Unakuja kutoka nyikani, nao utakausha kisima chake na kukausha bubujiko lake.+ Huyo atapora hazina ya vyombo vyote vyenye kutamanika.+