Yeremia 4:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na wakati huo watu hawa na Yerusalemu wataambiwa hivi: “Kuna upepo unaokausha wa mapito ya nyikani+ kwenye njia ya kwenda kwa binti ya watu wangu;+ si wa kupepeta, wala wa kusafisha. Hosea 4:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Upepo umemfunika mabawa yake.+ Nao watapatwa na aibu kutokana na dhabihu zao.”+
11 Na wakati huo watu hawa na Yerusalemu wataambiwa hivi: “Kuna upepo unaokausha wa mapito ya nyikani+ kwenye njia ya kwenda kwa binti ya watu wangu;+ si wa kupepeta, wala wa kusafisha.