Ezekieli 19:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Lakini mwishowe aling’olewa kwa ghadhabu.+ Akatupwa chini, na kulikuwa na upepo wa mashariki ulioyakausha matunda yake.+ Fimbo yake yenye nguvu ilikatwa nayo ikakauka.+ Moto wenyewe ukaiteketeza.+
12 Lakini mwishowe aling’olewa kwa ghadhabu.+ Akatupwa chini, na kulikuwa na upepo wa mashariki ulioyakausha matunda yake.+ Fimbo yake yenye nguvu ilikatwa nayo ikakauka.+ Moto wenyewe ukaiteketeza.+