Ezekieli 19:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Lakini aling’olewa kwa ghadhabu+ na kutupwa chini ardhini, Na upepo wa mashariki ukayakausha matunda yake. Matawi yake yenye nguvu yalikatwa yakakauka,+ na moto ukayateketeza.+
12 Lakini aling’olewa kwa ghadhabu+ na kutupwa chini ardhini, Na upepo wa mashariki ukayakausha matunda yake. Matawi yake yenye nguvu yalikatwa yakakauka,+ na moto ukayateketeza.+