Hosea 13:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “Hata yeye akizaa sana+ kama mimea ya matete, upepo wa mashariki, upepo wa Yehova, utakuja.+ Unakuja kutoka nyikani, nao utakausha kisima chake na kukausha bubujiko lake.+ Huyo atapora hazina ya vyombo vyote vyenye kutamanika.+
15 “Hata yeye akizaa sana+ kama mimea ya matete, upepo wa mashariki, upepo wa Yehova, utakuja.+ Unakuja kutoka nyikani, nao utakausha kisima chake na kukausha bubujiko lake.+ Huyo atapora hazina ya vyombo vyote vyenye kutamanika.+