15 “Hata yeye akizaa sana+ kama mimea ya matete, upepo wa mashariki, upepo wa Yehova, utakuja.+ Unakuja kutoka nyikani, nao utakausha kisima chake na kukausha bubujiko lake.+ Huyo atapora hazina ya vyombo vyote vyenye kutamanika.+
8 Na ikawa kwamba, mara jua lilipoangaza, Mungu akaweka pia upepo wenye kukausha wa mashariki+ na jua likazidi kukichoma kichwa cha Yona, hivi kwamba akawa anazimia;+ akaendelea kuomba kwamba nafsi yake ife. Akasema kwa kurudia-rudia: “Afadhali mimi nife kuliko niwe hai.”+