Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 8:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Ndipo yule mbuzi-dume akajivuna mno;+ lakini mara alipokuwa na nguvu, ile pembe kubwa ikavunjwa, na badala yake kukatokea pembe nne zenye kuonekana wazi, kuelekea zile pepo nne za mbingu.+

  • Danieli 11:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Naye atakapokuwa amesimama,+ ufalme wake utavunjwa na kugawanywa kuelekea pepo nne+ za mbinguni,+ lakini si kwa wazao+ wakewala si kulingana na mamlaka yake ambayo aliitumia kutawala; kwa sababu ufalme wake utang’olewa, hata kwa ajili ya wengine zaidi ya hao.

  • Ufunuo 7:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Baada ya hayo nikaona malaika+ wanne wamesimama juu ya pembe nne za dunia, wakizishika sana zile pepo+ nne za dunia, ili upepo wowote usivume juu ya dunia au juu ya bahari au juu ya mti wowote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki