6 “Kisha nikaendelea kuona, na, tazama! mnyama mwingine, aliye kama chui,+ lakini mgongoni mwake alikuwa na mabawa manne ya kiumbe kinachoruka. Na mnyama huyo alikuwa na vichwa vinne,+ naye akapewa utawala kwelikweli.
8 Ndipo yule mbuzi-dume akajivuna mno;+ lakini mara alipokuwa na nguvu, ile pembe kubwa ikavunjwa, na badala yake kukatokea pembe nne zenye kuonekana wazi, kuelekea zile pepo nne za mbingu.+
22 Na baada ya hiyo kuvunjwa, hivi kwamba kukawa na nne zilizosimama badala yake,+ kuna falme nne zitakazosimama kutoka katika taifa lake, lakini si kwa nguvu zake.