Methali 21:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Mtu mwenye kujigamba aliye na kimbelembele na mwenye kujidai, ndilo jina la mtu mwenye ghadhabu ya kimbelembele.+ Isaya 29:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 kwa sababu mwonevu ataufikia mwisho wake,+ na mwenye kujigamba atakwisha,+ na wale wote wanaokaa macho ili kutenda madhara+ watakatiliwa mbali,
24 Mtu mwenye kujigamba aliye na kimbelembele na mwenye kujidai, ndilo jina la mtu mwenye ghadhabu ya kimbelembele.+
20 kwa sababu mwonevu ataufikia mwisho wake,+ na mwenye kujigamba atakwisha,+ na wale wote wanaokaa macho ili kutenda madhara+ watakatiliwa mbali,