Isaya 28:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa hiyo sikieni neno la Yehova, ninyi wenye kujigamba, ninyi watawala+ wa watu hawa walio katika Yerusalemu: Yeremia 9:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Yehova amesema hivi: “Mtu mwenye hekima asijigambe kwa sababu ya hekima yake,+ wala mwanamume mwenye nguvu asijigambe kwa sababu ya nguvu zake.+ Mtu tajiri asijigambe kwa sababu ya utajiri wake.”+
14 Kwa hiyo sikieni neno la Yehova, ninyi wenye kujigamba, ninyi watawala+ wa watu hawa walio katika Yerusalemu:
23 Yehova amesema hivi: “Mtu mwenye hekima asijigambe kwa sababu ya hekima yake,+ wala mwanamume mwenye nguvu asijigambe kwa sababu ya nguvu zake.+ Mtu tajiri asijigambe kwa sababu ya utajiri wake.”+