Hesabu 14:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 Hata hivyo, wakafanya kimbelembele kupanda mpaka juu ya mlima,+ lakini sanduku la agano la Yehova na Musa hawakuondoka katikati ya kambi.+ Esta 6:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Baadaye mfalme akasema: “Ni nani aliye katika ua?” Basi Hamani alikuwa amekuja katika ua wa nje+ wa nyumba ya mfalme ili kumwambia mfalme kwamba Mordekai atundikwe juu ya mti+ ambao alikuwa amemwekea tayari. Methali 16:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kiburi hutangulia kuanguka,+ na roho ya majivuno hutangulia kujikwaa.+ Yakobo 4:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Lakini sasa mnajivunia kujigamba kwenu kwa kujidai.+ Majivuno yote ya namna hiyo ni maovu.
44 Hata hivyo, wakafanya kimbelembele kupanda mpaka juu ya mlima,+ lakini sanduku la agano la Yehova na Musa hawakuondoka katikati ya kambi.+
4 Baadaye mfalme akasema: “Ni nani aliye katika ua?” Basi Hamani alikuwa amekuja katika ua wa nje+ wa nyumba ya mfalme ili kumwambia mfalme kwamba Mordekai atundikwe juu ya mti+ ambao alikuwa amemwekea tayari.