Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 14:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Hata hivyo, wakafanya kimbelembele kupanda mpaka juu ya mlima,+ lakini sanduku la agano la Yehova na Musa hawakuondoka katikati ya kambi.+

  • Esta 6:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Baadaye mfalme akasema: “Ni nani aliye katika ua?” Basi Hamani alikuwa amekuja katika ua wa nje+ wa nyumba ya mfalme ili kumwambia mfalme kwamba Mordekai atundikwe juu ya mti+ ambao alikuwa amemwekea tayari.

  • Methali 16:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kiburi hutangulia kuanguka,+ na roho ya majivuno hutangulia kujikwaa.+

  • Yakobo 4:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Lakini sasa mnajivunia kujigamba kwenu kwa kujidai.+ Majivuno yote ya namna hiyo ni maovu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki