Ezekieli 12:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na wote wanaomzunguka ili kumsaidia, na majeshi yake yote, nitawatawanya kuelekea kila upepo;+ na upanga nitauchomoa nyuma yao.+ Ezekieli 17:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Nao wakimbizi wake wote katika vikosi vyake vyote, wataanguka kwa upanga, nao wanaobaki watatawanywa kotekote kuelekea kila upepo.+ Nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi mwenyewe, Yehova, nimesema hilo.” ’+
14 Na wote wanaomzunguka ili kumsaidia, na majeshi yake yote, nitawatawanya kuelekea kila upepo;+ na upanga nitauchomoa nyuma yao.+
21 Nao wakimbizi wake wote katika vikosi vyake vyote, wataanguka kwa upanga, nao wanaobaki watatawanywa kotekote kuelekea kila upepo.+ Nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi mwenyewe, Yehova, nimesema hilo.” ’+