5 Na jeshi la Wakaldayo+ likamfuatilia mfalme, nao wakamfikia+ katika nchi tambarare za jangwa la Yeriko;+ na jeshi lake lote likatawanyika kutoka upande wake.
10 “ ‘ “Kwa hiyo akina baba wenyewe watakula wana katikati yako,+ na wana wenyewe watakula baba zao, nami nitatenda ndani yako matendo ya hukumu na kutawanya mabaki yako yote kuelekea kila upepo.” ’+
21 Nao wakimbizi wake wote katika vikosi vyake vyote, wataanguka kwa upanga, nao wanaobaki watatawanywa kotekote kuelekea kila upepo.+ Nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi mwenyewe, Yehova, nimesema hilo.” ’+