Ezekieli 5:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “ ‘ “Kwa hiyo akina baba wenyewe watakula wana katikati yako,+ na wana wenyewe watakula baba zao, nami nitatenda ndani yako matendo ya hukumu na kutawanya mabaki yako yote kuelekea kila upepo.” ’+ Ezekieli 12:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na wote wanaomzunguka ili kumsaidia, na majeshi yake yote, nitawatawanya kuelekea kila upepo;+ na upanga nitauchomoa nyuma yao.+
10 “ ‘ “Kwa hiyo akina baba wenyewe watakula wana katikati yako,+ na wana wenyewe watakula baba zao, nami nitatenda ndani yako matendo ya hukumu na kutawanya mabaki yako yote kuelekea kila upepo.” ’+
14 Na wote wanaomzunguka ili kumsaidia, na majeshi yake yote, nitawatawanya kuelekea kila upepo;+ na upanga nitauchomoa nyuma yao.+