Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Kwa hiyo mtakula nyama ya wana wenu, nanyi mtakula nyama ya binti zenu.+

  • Kumbukumbu la Torati 28:53
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 53 Ndipo utalazimika kula uzao wa tumbo lako, nyama ya wana wako na binti zako,+ ambao Yehova Mungu wako amekupa wewe, kwa sababu ya mbano na mkazo ambao adui yako atakusonga nao.

  • 2 Wafalme 6:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Basi tukampika+ mwanangu, tukamla.+ Kisha nikamwambia kesho yake, ‘Mtoe mwana wako ili tumle.’ Lakini akamficha mwana wake.”

  • Yeremia 19:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Nami nitawafanya wale nyama ya wana wao na nyama ya binti zao; nao watakula kila mmoja nyama ya mwenzake, kwa sababu ya kusongwa na kwa sababu ya mkazo ambao adui zao na wale wanaoitafuta nafsi yao watawabania.”’+

  • Maombolezo 2:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Tazama, Ee Yehova, nawe umwone+ yule ambaye umemtendea vikali namna hii.

      Je, wanawake waendelee kula uzao wao wenyewe, watoto waliozaliwa wakiwa wamekomaa,+

      Au, je, kuhani na nabii wauawe ndani ya patakatifu pa Yehova?+

  • Maombolezo 4:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Mikono ya wanawake wenye huruma imetokosa watoto wao wenyewe.+

      Wamekuwa kama mkate wa kufariji mtu wakati wa kuvunjika kwa binti ya watu wangu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki