53 Ndipo utalazimika kula uzao wa tumbo lako, nyama ya wana wako na binti zako,+ ambao Yehova Mungu wako amekupa wewe, kwa sababu ya mbano na mkazo ambao adui yako atakusonga nao.
9 Nami nitawafanya wale nyama ya wana wao na nyama ya binti zao; nao watakula kila mmoja nyama ya mwenzake, kwa sababu ya kusongwa na kwa sababu ya mkazo ambao adui zao na wale wanaoitafuta nafsi yao watawabania.”’+
10 “ ‘ “Kwa hiyo akina baba wenyewe watakula wana katikati yako,+ na wana wenyewe watakula baba zao, nami nitatenda ndani yako matendo ya hukumu na kutawanya mabaki yako yote kuelekea kila upepo.” ’+