64 “Na Yehova atakutawanya katikati ya vikundi vyote vya watu kutoka mwisho mmoja wa dunia mpaka mwisho mwingine wa dunia,+ na huko utalazimika kuitumikia miungu mingine ambayo hukuijua, wala wewe wala mababu zako, miti na mawe.+
8 “Tafadhali, likumbuke+ lile neno ulilomwamuru Musa mtumishi wako, ukisema, ‘Ikiwa ninyi hamtakuwa waaminifu, mimi nami nitawatawanya kati ya vikundi vya watu.+
21 Nao wakimbizi wake wote katika vikosi vyake vyote, wataanguka kwa upanga, nao wanaobaki watatawanywa kotekote kuelekea kila upepo.+ Nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi mwenyewe, Yehova, nimesema hilo.” ’+