Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Kwa hiyo mtakula nyama ya wana wenu, nanyi mtakula nyama ya binti zenu.+

  • Kumbukumbu la Torati 28:55
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 55 ili asimpe yeyote kati yao nyama yoyote ya wanawe ambayo atakula, kwa kuwa hana chochote alichobaki nacho kwa sababu ya mbano na mkazo ambao adui yako atakusonga nao ndani ya malango yako yote.+

  • Maombolezo 2:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Tazama, Ee Yehova, nawe umwone+ yule ambaye umemtendea vikali namna hii.

      Je, wanawake waendelee kula uzao wao wenyewe, watoto waliozaliwa wakiwa wamekomaa,+

      Au, je, kuhani na nabii wauawe ndani ya patakatifu pa Yehova?+

  • Maombolezo 4:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Hata mbwa-mwitu wametoa maziwa. Wamenyonyesha watoto wao.

      Binti ya watu wangu anakuwa mkatili,+ kama mbuni nyikani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki