Mambo ya Walawi 26:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Kwa hiyo mtakula nyama ya wana wenu, nanyi mtakula nyama ya binti zenu.+ Kumbukumbu la Torati 28:55 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 55 ili asimpe yeyote kati yao nyama yoyote ya wanawe ambayo atakula, kwa kuwa hana chochote alichobaki nacho kwa sababu ya mbano na mkazo ambao adui yako atakusonga nao ndani ya malango yako yote.+ Maombolezo 2:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Tazama, Ee Yehova, nawe umwone+ yule ambaye umemtendea vikali namna hii.Je, wanawake waendelee kula uzao wao wenyewe, watoto waliozaliwa wakiwa wamekomaa,+Au, je, kuhani na nabii wauawe ndani ya patakatifu pa Yehova?+ Maombolezo 4:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Hata mbwa-mwitu wametoa maziwa. Wamenyonyesha watoto wao.Binti ya watu wangu anakuwa mkatili,+ kama mbuni nyikani.+
55 ili asimpe yeyote kati yao nyama yoyote ya wanawe ambayo atakula, kwa kuwa hana chochote alichobaki nacho kwa sababu ya mbano na mkazo ambao adui yako atakusonga nao ndani ya malango yako yote.+
20 Tazama, Ee Yehova, nawe umwone+ yule ambaye umemtendea vikali namna hii.Je, wanawake waendelee kula uzao wao wenyewe, watoto waliozaliwa wakiwa wamekomaa,+Au, je, kuhani na nabii wauawe ndani ya patakatifu pa Yehova?+
3 Hata mbwa-mwitu wametoa maziwa. Wamenyonyesha watoto wao.Binti ya watu wangu anakuwa mkatili,+ kama mbuni nyikani.+