Zaburi 78:64 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 64 Nao makuhani wake, wakaangushwa kwa upanga,+Na wajane wao hawakulia.+ Mathayo 23:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 ili ije juu yenu damu yote ya uadilifu iliyomwagwa juu ya dunia,+ tangu damu+ ya Abeli+ mwadilifu mpaka damu ya Zekaria mwana wa Barakia, ambaye mlimuua katikati ya patakatifu na madhabahu.+
35 ili ije juu yenu damu yote ya uadilifu iliyomwagwa juu ya dunia,+ tangu damu+ ya Abeli+ mwadilifu mpaka damu ya Zekaria mwana wa Barakia, ambaye mlimuua katikati ya patakatifu na madhabahu.+